Habari zenu wakuu.
Wakuu naomba kujulishwa,hivi mtu ukijenga nyumba kuanzia msingi mpaka usawa wa linapoanzia dirisha kwa mwezi mmoja je kitaalam kuna madhara yeyote?
Nauliza sababu nimezoea kuona watu wakijenga msingi then wanaacha kwa miezi kadhaa wengine hata mwaka ndio wanakuja tena kupandisha tofali mistari kadhaa then wanaondoka wanakaa wanakuja kupandisha tena mistari kadhaa.
Wakuu naomba kujulishwa,hivi mtu ukijenga nyumba kuanzia msingi mpaka usawa wa linapoanzia dirisha kwa mwezi mmoja je kitaalam kuna madhara yeyote?
Nauliza sababu nimezoea kuona watu wakijenga msingi then wanaacha kwa miezi kadhaa wengine hata mwaka ndio wanakuja tena kupandisha tofali mistari kadhaa then wanaondoka wanakaa wanakuja kupandisha tena mistari kadhaa.