Zee la Nyeti
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 697
- 461
Huna hoja ya kuita Udom km unavyoita, wenzio wenye akili timamu walikuja na sababu kuwa badhi ya kozi hawafany field pale, ivo products zao zinakuwa shallow ktu ambacho ni kweli. Unafiri wanafunzi wote udom wametoka kata skuli ? Unafikiri TCU inangalia huyu kasoma shule gan aende chuo gan ? Nmesoma privates schools na nmepita UDOM. wewe dada wa SEKOMU UE umeiba, iba sasa na maswali ya usaili uwasaidie ndugu na jamaa zako wapate placements kirahisi.
Tena hapo kwenye product kuwa shallow usiseme kitu ninamifano kibao ya watu walosoma udom lakin kazin ni upuuz mtupu, udom ni nzuri kwa majengo lakin product ni za ovyo kwa kiasi kikubwa ndg yangu usibishe