UEFA 2017/2018 kutawaliwa na timu za uingereza,uholanzi na ufaransa!!

UEFA 2017/2018 kutawaliwa na timu za uingereza,uholanzi na ufaransa!!

Ukifuatilia kipindi hiki cha usajili timu zilizoonekana kujiimarisha zaidi ni timu za EPL hasahasa timu mbili kutoka mji wa Manchester na timu moja kutoka Londoni.
Nadhani unaweza kukubaliana na mimi Man united kwa usajili walioufanya na kuifanya timu yao kuwa ya maGIANT wataleta macheko UEFA.Vivyo hivyo kwa upande wa Manchester city wametumia kiasi kikubwa cha pesa kuimarisha kikosi chao na ni dhahiri watatikisa ligi ya mabingwa.
Ukitizama pia matajiri wa London chelsea wamesajili wachezaji muhimu kuimarisha kikosi chao kwa bei mbaya kabisa nao ni dhahiri watatikisa UEFA ijayo
Nchini ufaransa wababe wa paris,PSG, wameonekana kurudi kwenye form kwa kufanya usajili wa kutupa hii ikithibisha ndoto yao ya kugika nusu fainali itaweza kutimia.
Huko uholanzi Ajax Amsterdam wameonekana kufanikiwa kujenga kikosi chao kwa kutumia academy yao na kila mmoja anaelewa jinsi gani kilivyotikisa Ueropa league na si siri na UEFA watauaa.
Timu za uhispania na ujerumani zimeonekana kujisahau katika usajili huku nyingine zikigungiwa usajili na hii inaashiria watakua na kipindi kigumu kwenye michuano hiyo.
Wareno na mataifa mengine yatabaki kua wasindikizaji katika mashindano haya kwa ufinyu wa bajeti za club zao na wataendelea kua academybza kuzalisha wachezaji kwa ajili ya club tajiri.
Italy nao wamejisahau huku wawakilishi wao wakuu Juve na Napoli zikisalia kuuza wachezaji bila kununua wapya wakitegemea uzoefu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto hiyo....Ni nani kati ya hao ataweza kukatiza mbele ya Bayern,madrid,Barca na Juventus?
Pre session match in nothing....
 
Ndoto hiyo....Ni nani kati ya hao ataweza kukatiza mbele ya Bayern,madrid,Barca na Juventus?
Pre session match in nothing.. ..

37afb66d5d1f80203d636bc4cca146f2.jpg
 
Usajili ni kitu kimoja halafu kuna ufundi wa kusuka kikosi cha ushindi upo hapo?
Halafu mpira siyo usajili tu kila klabu ina falsafa zake wengine priority yao ni kujitengenezea vipaji na kuvitumia na wanashinda sana zaidi hata hawa wanaotumia mpunga mwingi kwa usajili.
 
Ukifuatilia kipindi hiki cha usajili timu zilizoonekana kujiimarisha zaidi ni timu za EPL hasahasa timu mbili kutoka mji wa Manchester na timu moja kutoka Londoni.
Nadhani unaweza kukubaliana na mimi Man united kwa usajili walioufanya na kuifanya timu yao kuwa ya maGIANT wataleta macheko UEFA.Vivyo hivyo kwa upande wa Manchester city wametumia kiasi kikubwa cha pesa kuimarisha kikosi chao na ni dhahiri watatikisa ligi ya mabingwa.
Ukitizama pia matajiri wa London chelsea wamesajili wachezaji muhimu kuimarisha kikosi chao kwa bei mbaya kabisa nao ni dhahiri watatikisa UEFA ijayo
Nchini ufaransa wababe wa paris,PSG, wameonekana kurudi kwenye form kwa kufanya usajili wa kutupa hii ikithibisha ndoto yao ya kugika nusu fainali itaweza kutimia.
Huko uholanzi Ajax Amsterdam wameonekana kufanikiwa kujenga kikosi chao kwa kutumia academy yao na kila mmoja anaelewa jinsi gani kilivyotikisa Ueropa league na si siri na UEFA watauaa.
Timu za uhispania na ujerumani zimeonekana kujisahau katika usajili huku nyingine zikigungiwa usajili na hii inaashiria watakua na kipindi kigumu kwenye michuano hiyo.
Wareno na mataifa mengine yatabaki kua wasindikizaji katika mashindano haya kwa ufinyu wa bajeti za club zao na wataendelea kua academybza kuzalisha wachezaji kwa ajili ya club tajiri.
Italy nao wamejisahau huku wawakilishi wao wakuu Juve na Napoli zikisalia kuuza wachezaji bila kununua wapya wakitegemea uzoefu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kumbuka Spain ndo mababa wa Hiki kikombe nashangaa unawatoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu za England zitagangamana lkn mwisho wa siku sioni kama zitafika popote kwenye Uefa pamoja na kutumia hayo mahela yote.

Naziona Real Madrid, Barcelona, PSG na Bayern wakizodoana macho kung'ang'ania kombe.
 
Back
Top Bottom