UEFA Champions League 2020/21: Nani kuwa Bingwa kati ya Manchester City na Chelsea?

Habari za kulijenga taifa wakuu natumai mko salama katika harakati za kulijenga taifa letu.

Kwa wapenzi wa soka tarehe 29 mei, nafikir itakwenda kua siku ya kipekee kabisa kwa kushuhudia mtanange wa UCl pale ureno.

Mambo nayoyaona kuhusu mechi hii
1:Mechi itakuwa ngumu na very tactical.
2: mechi itaamuliwa na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Kwa upande wangu nawapa nafasi kubwa the citizens (51%) kwa (49%) kwa the blues.

Nini maoni yako na mtazamo wako?

 
Mwanzo mpira utaanza taratibu kwa timu zote kusomana, then naiona Chelsea ikipaki sana basi hivyo Man City watamiliki mpira muda mwingi wa mchezo, as soon as Man City wakipata goli la mapema ndio Chelsea watafunguka nao kwenda kushambulia hivyo kuacha gaps kwenye defence yao, mwisho wa siku Man City wataibuka na ushindi mnono wa magoli zaidi ya mawili.
 
Hahahaha mkuu kumbuka Chelsea siku za karibun city kashindwa mfunga.
 
Jana city 5-0 everton
Villa 2-1 chelsea
Twote walkua na vikosi vya maangamizi yaani ile first eleven ya uhakika City watakua na possession kubwaa ila ze bluuz watakua na Tactics nyingi mwisho wa siku watachukua ndoo[emoji91] kama namuona kante atavyoupiga mwingi pale kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…