[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahaaaaa, kuna bifu unataka kucreate na watu humu
Kweli mkuu, mara kwanza sikuona mpaka walivyoonesha marudio wakati wanalijadili.Wanaonyesha hapa goli la Madrid la off side.
wewe unaangalia mpira au unasikiliza kwenye redio?hakika wanastahili kwani kwa mchezo n wazi real madrid walijiandaa,inaonekana dhahili atletico wamekata tamaa mapema
Ndio kupaki bus kwenyewe uko,mtindo wa MourinhoHapana mkuu, huu mtindo ndio unapendwa sana siku hizi na timu nyingi zenye kuhofia timu pinzani ambazo hucheza kwa kasi kama Athletico Madrid, hutumia mbinu hiyo.
Lakini sio kupaki basi, mbinu ambayo mnajipanga na mnaishia katikati ya uwanja.
mpira bado huuZizou anajiokotea kikombe kiulaaanii. Atletico wamefanya kazi ya kung'oa vigogo wanashindwa kufyeka hili bua. Aaaarrrrggghhhhh!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wewe unaangalia mpira au unasikiliza kwenye redio?
Usha umia mbaba akuna namna apompira bado huu
Ndio kupaki bus kwenyewe uko,mtindo wa Mourinho
Nimeamini msemo wa "Timu kubwa ubebwa" goli la R. Madrid la uoteaji wa wazi.
Ndio jinsi Madrid wanachezaKupaki basi kwa Mourinho ni kutoacha hata mchezaji mmoja kule mbele au anakuwa anaishia katikati kwenye duara.