UEFA Champions League: Atletico Madrid Vs Real Madrid

UEFA Champions League: Atletico Madrid Vs Real Madrid

Inasikitisha kuona kwamba Real Madrid pamoja na kutocheza sana lakini wanakuja kushinda kwa matuta tu!

Athletico Madrid hawakustahili hili, wamecheza kwa bidii sana.

nn maana ya mpira kwani? Kwani ushindi ni kucheza mpira mzur au magoli?
 
Hongera Real Madrid mimi

Wakuu kila la kheri na usiku mwema.
 
image.jpeg
 
Kusema ukweli Gareth Balle kapiga penalt iliyokwenda shule, kweli anastahili kuwa mchezaji ghali duniani
 
Atletico wamekufa kiume....teh...teh...teh
Mtu kafungwa halafu una mfariji kafa kiume? Atletico walitakiwa kujua kuwa wakiingia fainali na Madrid wana asilimia chache ya kuchukua kombe! Madrid huwa wako bora kila wanapo ingia fainali UEFA!
 
football kitu kengine unapofungwa usiombeee, Watu wazima wanalia na video zina zoom mpaka watoto huku wanauliza Kama Nurse wa Sindano yupo karibu? mbona wanalialia ovyo? maradhi ya mpira hayafai ukifungwa.
 
torres kafichwa kabisa game hii. wonderfull
 
Back
Top Bottom