Uefa Champions League: Je Arsenal na Barca watapindua matokeo?

Uefa Champions League: Je Arsenal na Barca watapindua matokeo?

MECHI ZA LEO:
Arsenal Vs Bayern Munich
Napoli Vs Real Madrid​

MECHI ZA KESHO:
Barcelona Vs PSG
Borussia Dortmund Vs Benfica​

Hatua ya mtoano ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, kuendelea leo ambapo Arsenal watakuwa nyumbani kuwakaribisha wajerumani Bayern Munich. Ikumbukwe mchezo wa kwanza Arsenal alipigwa 5-1 hivyo leo anahitaji ushindi wa goli 4-0 ili asonge mbele, Je mwalimu Arsene Wenger ataweza kugeuza matokeo na kupata ushindi wa 4-0 leo hasa wakichagizwa na advantage ya uwanja wa nyumbani?

Kesho pia kuna shughuli pale Nou Camp, ambapo Barcelona watakuwa wanahitaji ushindi wa goli 5-0 ili wasonge mbele, je wataweza kubadili matokeo dhidi ya PSG?

Karibu utupe mawazo yako.
Tatizo la arsenal kocha mbinu zake za kizamani sana
 
Nasikia timu ya netiboli ya ArsayNO imefungwa [emoji637] [emoji778]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe ndo unaleta porojo. Mpira uwanjani ndio maana naamini uwanjani Barca watafanya maajabu. Tuliza mtori nyama ziko chini.
Labda maajabu ya kufunga goli za mkono au kumpanga kipa mbele
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
We tulia saa sita usiku uje kunisabahi hapa
Jipe matumaini ya ng'ombe kupita kwenye shimo la panya halafu baadaye utakimbia mwenyewe

Barca kushinda anaweza hakuna anayebisha lakini hana ubavu wa kupindua [emoji640] kwa PSG ile yenye viungo kina Matuidi na Rabbiot halafu mbele kuna Cavani na Di Maria tusidanganyane tafadhali

Mpira unadunda lakini sio kwenye tope
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
If it is a team that can score more than six goal against a big team like PSG, that team is FCB. Says Real Madrid legend Gutti.
Hata Pele ni bingwa wa kuongea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Uwe na Tabia ya kuweka akiba ya maneno. Nitakukumbusha haya
7e3df89417a938506e697d626e131ae9.jpg
 
Jipe matumaini ya ng'ombe kupita kwenye shimo la panya halafu baadaye utakimbia mwenyewe

Barca kushinda anaweza hakuna anayebisha lakini hana ubavu wa kupindua [emoji640] kwa PSG ile yenye viungo kina Matuidi na Rabbiot halafu mbele kuna Cavani na Di Maria tusidanganyane tafadhali

Mpira unadunda lakini sio kwenye tope
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tuliza mtori huo nyama ziko chini.
 
Back
Top Bottom