Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Endelea kujipa moyo huku ukiwa unatumia bombaDStv is not for everyone.
Tutafute hela mkuu kila kitu kitaonekana kawaida.
Asante kibanda umizaKama siyo DSTV potezea.
wakala uko vizuriHakuna raha kuangalia mpira kwa lugha usiyoijua. Dstv bado wako poahao Canal waweke kiingeleza
king'amuzi cha Canal+ nakipata wapi hapa dar na ni bei gani?Wakuu wa jukwaa, kama mnavyofahamu kesho ndio kesho. Usiku wa Ulaya unaanza kwa msimu huu. Mimi nimekuwa mdau wa mpira kwa muda mrefu, ila hawa Dstv wanakwama wapi? Mbona wenzao Canal+ wako na bei poa kwenye vifurushi vya soka.
Ili uweze kuona Mechi nyingi na unazotaka za Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Dstv ni lazma uwe na kifurushi cha Compact Plus ambacho ni 84,000 wakati kwenye Canal+ ni mwendo wa kifurushi cha 40,000 tu unachagua utazame mechi unayotaka.
Siwapondi Dstv ila Wale mliolipa elfu 44 yaani compact mkitegemea mtapata mechi za Uefa poleni sana, bado mkaburu anajua kutunyonya. Kama hamjali lugha ya kifaransa tafuteni Canal+ mle maisha.
Kizuri kula na ndugu yako, kazi ni kwenu.
View attachment 1209222View attachment 1209223
Unahitaji canal??king'amuzi cha Canal+ nakipata wapi hapa dar na ni bei gani?
kama una majibu ya hilo swali langu hapo ni vyema ungenijibu kwanza.Un
Unahitaji canal??
Oukykama una majibu ya hilo swali langu hapo ni vyema ungenijibu kwanza.
We unaongea nini, watu wanaskiliza kwenye radio na wanapata satisfaction sembuse kutazama kitu live.Hakuna raha kuangalia mpira kwa lugha usiyoijua. Dstv bado wako poahao Canal waweke kiingeleza
Hahaha umemuwezaWe unaongea nini, watu wanaskiliza kwenye radio na wanapata satisfaction sembuse kutazama kitu live.
Mkuu wewe endelea na hizo Canal zako, mimi burudani napata muda wowote wakati wowote.Endelea kujipa moyo huku ukiwa unatumia bomba
Jamaa wanajitahidi sema wanazidi kupigwa za uso na Azam malipo yao sio rafiki kwa wengiMkuu wewe endelea na hizo Canal zako, mimi burudani napata muda wowote wakati wowote.
View attachment 1209371
Mkuu unaweza nipa details za kuwapata canal+?Wakuu wa jukwaa, kama mnavyofahamu kesho ndio kesho. Usiku wa Ulaya unaanza kwa msimu huu. Mimi nimekuwa mdau wa mpira kwa muda mrefu, ila hawa Dstv wanakwama wapi? Mbona wenzao Canal+ wako na bei poa kwenye vifurushi vya soka.
Ili uweze kuona Mechi nyingi na unazotaka za Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Dstv ni lazma uwe na kifurushi cha Compact Plus ambacho ni 84,000 wakati kwenye Canal+ ni mwendo wa kifurushi cha 40,000 tu unachagua utazame mechi unayotaka.
Siwapondi Dstv ila Wale mliolipa elfu 44 yaani compact mkitegemea mtapata mechi za Uefa poleni sana, bado mkaburu anajua kutunyonya. Kama hamjali lugha ya kifaransa tafuteni Canal+ mle maisha.
Kizuri kula na ndugu yako, kazi ni kwenu.
View attachment 1209222View attachment 1209223
Mkuu unalinganisha Azam na DStv kweli!, jaribu kuwa serious hata kidogo.Jamaa wanajitahidi sema wanazidi kupigwa za uso na Azam malipo yao sio rafiki kwa wengi
Kabisa MkuuMkuu unalinganisha Azam na DStv kweli!, jaribu kuwa serious hata kidogo.
Hakuna watu wasiopenda vitu vizuri tatizo ni gharama tu,ndio maana nasisitiza ndugu zangu tutafute hela. Ukiwa na hela kila kitu kizuri kinakua ni affordable.
Sasa ona mtoa mada anakomalia kupata burudani kwa lugha ambayo haielewi, hii si adhabu kweli?
Kama siyo DSTV potezea.