Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wakuu wa jukwaa, kama mnavyofahamu kesho ndio kesho. Usiku wa Ulaya unaanza kwa msimu huu. Mimi nimekuwa mdau wa mpira kwa muda mrefu, ila hawa Dstv wanakwama wapi? Mbona wenzao Canal+ wako na bei poa kwenye vifurushi vya soka.
Ili uweze kuona Mechi nyingi na unazotaka za Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Dstv ni lazma uwe na kifurushi cha Compact Plus ambacho ni 84,000 wakati kwenye Canal+ ni mwendo wa kifurushi cha 40,000 tu unachagua utazame mechi unayotaka.
Siwapondi Dstv ila Wale mliolipa elfu 44 yaani compact mkitegemea mtapata mechi za Uefa poleni sana, bado mkaburu anajua kutunyonya. Kama hamjali lugha ya kifaransa tafuteni Canal+ mle maisha.
Kizuri kula na ndugu yako, kazi ni kwenu.
Ili uweze kuona Mechi nyingi na unazotaka za Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Dstv ni lazma uwe na kifurushi cha Compact Plus ambacho ni 84,000 wakati kwenye Canal+ ni mwendo wa kifurushi cha 40,000 tu unachagua utazame mechi unayotaka.
Siwapondi Dstv ila Wale mliolipa elfu 44 yaani compact mkitegemea mtapata mechi za Uefa poleni sana, bado mkaburu anajua kutunyonya. Kama hamjali lugha ya kifaransa tafuteni Canal+ mle maisha.
Kizuri kula na ndugu yako, kazi ni kwenu.