mama weeee!!!r.i.p arsenal yangu
Arsenal is out for 90%.
Nitake radhi mkuu
mnapigwa nje ndaniHuamini mkuu, just wait
Tough game ni Juventus na Bayern Munich. Hao kina aseno na chelsii wajiandae kaondoka tu, maana hamna namna.
Naona clabu za Spain zikiendelea kutesa ulaya. Angalia wapinzani wao ni dhaifu sana. Kule England city ndio wana nafuu angalao wanaweza kwenda robo fainal.
Nawaona mashabiki wa man u