Uefa Champions League: Leo ndio hukumu ya Real Madrid

wakipiga la 2 hapa wanaharibu mchakato mzima maana hata RMA akapiga goli ngoma itaenda extra time.
 
Madrid kasaidiwa naona akipita kabisa....

Ila kama huyu refa kama angekuwa fair basi hata casemiro hakistahili kuwepo hadi dakika hii
 
Nimeona kiongozi
Daaaaa bayani ndio basi tena artulo kala umeme kupita ni ngumu sana ila tuombe mungu bayani wana bahati mbaya na nyekundu imeniuma sana lasivyo Madrid wangekuwa nje Leo
 
Dah, Ronaldo kawa mwiba mchungu sasa, hat trick kwa Bayern!
 
Kheeee kheeeeeee Bye bye Bayern Munich see you in 2017/2018 season.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…