Baada ya gemu kuisha..Kabla ya gemu mnara wa 4G ulikuwa hausomi kabisa, nlipata shida kweli!
Ila kwa sasa mambo ni mubashara 4G inasoma fresh kabisa....
Pole yako...nadhani unaugulia maumivuMadrid ashukru jamaa walipata kadi nyekundu siku ile bila hivyo siku ile angepigwa sana!
Pole sanaReal Madrid kichwa chao halali yetu
Bingwa mtetezi Real Madrid anaenda kuvuliwa ubingwa wake na Bayern Munich usiku wa leo pale dimbani Santiago Bernabeu.
Kurudi dimbani kwa Roberto Lewandowski ni dalili njema kuwa Bayern Munich ama " The Bavarians " watatakata na kuitoa mashindanoni Real Madrid ambayo katika siku za karibuni wamekuwa na fomu isiyokuwa nzuri kwa wachezaji wake wa mbele yaani BBC.
Kama ilivyo ada, Bingwa mtetezi hawezi kuchukua mara mbili hivyo leo ni siku nzuri kwa Real Madrid kufurumushwa nje ya mashindano.
Mechi ni saa 3:45 usiku
Bingwa mtetezi Real Madrid anaenda kuvuliwa ubingwa wake na Bayern Munich usiku wa leo pale dimbani Santiago Bernabeu.
Kurudi dimbani kwa Roberto Lewandowski ni dalili njema kuwa Bayern Munich ama " The Bavarians " watatakata na kuitoa mashindanoni Real Madrid ambayo katika siku za karibuni wamekuwa na fomu isiyokuwa nzuri kwa wachezaji wake wa mbele yaani BBC.
Kama ilivyo ada, Bingwa mtetezi hawezi kuchukua mara mbili hivyo leo ni siku nzuri kwa Real Madrid kufurumushwa nje ya mashindano.
Mechi ni saa 3:45 usiku
Kwa Bahati Nzuri Sina Hobby Ya KubetiBila shaka ulibeti
Wewe jamaa ni mchawiCR7 HAT TRICKS
Jembe langu hilo...haliwezi kuiangusha timu hebu kaangali marudio tena Mkuu...Naona kaiangusha
Marudio yepi tena?Jembe langu hilo...haliwezi kuiangusha timu hebu kaangali marudio tena Mkuu...
Mie nouma sana mkuuWewe jamaa ni mchawi
Hata Ile penalty ingekua kapata Madrid ungesema ya kupewa. Poleni sana shabiki wa kale kaligi kalikobaki jinaMagoli yote mawili ya ronaldo offside, kadi ya njano vidal kawini mpira vizuri. Sitashangaa kesho juve wakimaliza tisa uwanjani na bacelona akipata ushindi wa tano bila