Uefa Champions League: Leo ndio hukumu ya Real Madrid

Uefa Champions League: Leo ndio hukumu ya Real Madrid

Kabla ya gemu mnara wa 4G ulikuwa hausomi kabisa, nlipata shida kweli!
Ila kwa sasa mambo ni mubashara 4G inasoma fresh kabisa....
Baada ya gemu kuisha..
nimepenyezewa taarifa kwamba shabiki wa arsenal waliujaza uwanja wa Bernabeu.

Hehehe kesho nasubiri mbeleko nyingine.
 
91f5fb911083d598c6b5ba880578eab3.jpg
3-2=
 
Bingwa mtetezi Real Madrid anaenda kuvuliwa ubingwa wake na Bayern Munich usiku wa leo pale dimbani Santiago Bernabeu.

Kurudi dimbani kwa Roberto Lewandowski ni dalili njema kuwa Bayern Munich ama " The Bavarians " watatakata na kuitoa mashindanoni Real Madrid ambayo katika siku za karibuni wamekuwa na fomu isiyokuwa nzuri kwa wachezaji wake wa mbele yaani BBC.

Kama ilivyo ada, Bingwa mtetezi hawezi kuchukua mara mbili hivyo leo ni siku nzuri kwa Real Madrid kufurumushwa nje ya mashindano.
Mechi ni saa 3:45 usiku
58f5387446de6.jpeg

Shshshshshsshshshshshs
Kelele mingi chumbani unaamsha majirani
 
Yule refa hachzeshi tena big match kadi ya pili ya vidal na goli la pili na Ronaldo hata kipofu aliona alivochemka
 
Bingwa mtetezi Real Madrid anaenda kuvuliwa ubingwa wake na Bayern Munich usiku wa leo pale dimbani Santiago Bernabeu.

Kurudi dimbani kwa Roberto Lewandowski ni dalili njema kuwa Bayern Munich ama " The Bavarians " watatakata na kuitoa mashindanoni Real Madrid ambayo katika siku za karibuni wamekuwa na fomu isiyokuwa nzuri kwa wachezaji wake wa mbele yaani BBC.

Kama ilivyo ada, Bingwa mtetezi hawezi kuchukua mara mbili hivyo leo ni siku nzuri kwa Real Madrid kufurumushwa nje ya mashindano.
Mechi ni saa 3:45 usiku
58f5387446de6.jpeg
1c092b39699f560b81547755e7e59570.jpg
 
Nawaza cjui nani atakuwa kiungo mkabaji wa real pale kati kwny mechi ijayo ????!!!......
 
0 shots on goal 45 min ( vidal alikuwepo)
2a9c5a33ad133d3f674351f2052c5a89.jpg


2 shots on goal 2nd half ( 1 la ramos)
b612176016d1ca9ac6a44ee586f2778f.jpg


0 shots on goal extra time
c9da449afeb79989dd60f953a9919d2b.jpg


120 min
5847bb4ed8605cf79a4387a95a3ab86d.jpg


Displine ndio imewaweka mjini madrid only Casemiro amepewa yellow card [emoji28]
 
Magoli yote mawili ya ronaldo offside, kadi ya njano vidal kawini mpira vizuri. Sitashangaa kesho juve wakimaliza tisa uwanjani na bacelona akipata ushindi wa tano bila
Hata Ile penalty ingekua kapata Madrid ungesema ya kupewa. Poleni sana shabiki wa kale kaligi kalikobaki jina
 
Back
Top Bottom