Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Baada ya gemu kuisha..Kabla ya gemu mnara wa 4G ulikuwa hausomi kabisa, nlipata shida kweli!
Ila kwa sasa mambo ni mubashara 4G inasoma fresh kabisa....
nimepenyezewa taarifa kwamba shabiki wa arsenal waliujaza uwanja wa Bernabeu.
Hehehe kesho nasubiri mbeleko nyingine.