UEFA CHAMPIONS LEAGUE: The Road to Milan

Naona EPL ukiachana na Man City ambayo haitaleta mapato makubwa UEFA, waliobaki wote wamebebwa ili walau wavuke kwenye makundi.
 
Labda abadilike, asicheze kama majuzi. Yaani mnadroo na timu iliyopanda daraja. Ebo!

Mechi 4, Barcelona wame-concede goli 9 na kufunga 7. Ila bado unatuonea huruma sisi??
 
sijutii kuwa mpenzi na mkeleketwa wa La Liga kule ndo mpira upo
Barcelona
Atletico Madrid
Real madrid
Valencia
sevila
 
sijutii kuwa mpenzi na mkeleketwa wa La Liga kule ndo mpira upo
Barcelona
Atletico Madrid
Real madrid
Valencia
sevila

EPL safari hii naona wataingia hata mtoano na robo maana timu zao nyingi zimebebwa. Ila walivyo vilaza unaweza ukakuta wanapigwa tuu.
 
Group la kufa kwa yeyote ni la kwetu hapa. Timu tatu zipo vizuri, Wagiriki (Olympiakos) wanaweza kuleta madhara kwa timu yeyote itakayosafiri hadi ugiriki kilelemama.

Acha kukufuru, ungepangwa A au D ungesemaje?
 
Group la kufa kwa yeyote ni la kwetu hapa. Timu tatu zipo vizuri, Wagiriki (Olympiakos) wanaweza kuleta madhara kwa timu yeyote itakayosafiri hadi ugiriki kilelemama.

'D' ndio la kifo kwa mtazamo wa wengi.
 
Group D ndio kundi LA kifo. Hizi ni timu zinazotoka kwenye ligi ngumu zaidi barani ulaya.

Kwa kweli hapo kila m1 inabidi akaze.
 
Group la kufa kwa yeyote ni la kwetu hapa. Timu tatu zipo vizuri, Wagiriki (Olympiakos) wanaweza kuleta madhara kwa timu yeyote itakayosafiri hadi ugiriki kilelemama.

defensive mechanism hiyo, kundi gumu ni la man city
 
Acha kukufuru, ungepangwa A au D ungesemaje?

'D' ndio la kifo kwa mtazamo wa wengi.


Group D ni Juve na Man City watakaogombea nafasi 2. Borrusia Monchengb hawajakuwa katika UCL kwa miaka kadhaa, Sevilla sijui kama wataleta ugumu wowote kwa Man City au Juve.
Group A ni given Real Madrid na PSG watakaosonga mbele. Shakhtar Donetsk watashika nafasi ya tatu. Kumbuka ni mtizamo wangu mkuu Aleyn hakuna haja ya kuongea kinamna fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…