Nina uhakika timu zote 5 za Spain msimu huu ya La liga zitaingia second round,Barcelona FC,Real Madrid,Atletico Madrid,Valencia na Sevilla,timu 5 kutoka miji 4 mikubwa nchini Spain yaani Madrid,Barcelona,Valencia na Sevilla respectively
Nina uhakika timu zote 5 za Spain msimu huu ya La liga zitaingia second round,Barcelona FC,Real Madrid,Atletico Madrid,Valencia na Sevilla,timu 5 kutoka miji 4 mikubwa nchini Spain yaani Madrid,Barcelona,Valencia na Sevilla respectively
Nina uhakika timu zote 5 za Spain msimu huu ya La liga zitaingia second round,Barcelona FC,Real Madrid,Atletico Madrid,Valencia na Sevilla,timu 5 kutoka miji 4 mikubwa nchini Spain yaani Madrid,Barcelona,Valencia na Sevilla respectively
hapo 3 ndo zina chance kubwa ya kupenya
Kama Kawa vilaza vya EPL vinachapwa tuu.
umewaona Sevilla jana,Man City akija Ramon Sanchez na hata Juve hazitoki paleNi nne ukiweka na Valencia maana kwenye kundi lake kuna timu mdebwedo sana ila hatakatiza 16 bora
usijali Sevilla anapita kundi lake,maana Man City na Juventus zote zitafungwa zikija Ramon Sanchez Stadio jijini Sevilla,Valencia akiwa estadio Mestalla jijini Valencia nae leo nategemea anafanya mauaji makubwa kama waliofanya jana Real,Atletico na Sevilla,achilia mbali mabingwa watetetezi FC Barcelona ambao leo wapo jiji ambalo halikujengwa ka siku 1 yaani Roma.hapo 3 ndo zina chance kubwa ya kupenya