UEFA Champions League & UEFA Europa League draw

Shabiki mufu wa Ac Milan, naona mmejitoa kabisa kushiriki UEFA mkuu
 
Sawa sawa shabiki wa Man U.
 
Na PSG mlisemaga hivyo hivyo Ila baadae mkaja kulia na refa.
 
Mkuu huijui Barcelona wewe, usiiseme kabla ya mechi kuanza, naona hamjajifunza kwa PSG
 
Naona unawapa kick ova hatuwajui, hebu rejea ile fainali ya UEFA basi tulio wapiga 3-1 uone hao viumbe uliowataja tuliwatuliza vipi
 
Hahahaaa japo mie shabiki wa Barca umenichekesha sana eti unaficha makalio mbele wanabikiri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Utabiri wangu
FCB VS RLM
ATL VS DORTMUND
FCBYM VS MONACO
FCLC VD JUV
hivi unajisikiaje mkuu kutabiri droo ya timu nane halafu hupatii hata moja na unaangalia mpira kila siku? ulishindwa hata kutabiri bayern na Madrid ama barca na juve? nyie ndo mnapewaga bastola mjipige risasi mnajikosa
 
Tar 18& 19 April sio mbali mkuu haya maneno unaweza kuja kuyakataaaa na aibu ikawa kwako!!!! Barcelona na Madrid ni team kubwa sana hakuna wakuzitisha kwa kiasi hicho
 
Maneno yako tu mkuu, utakuja kutusifu tena hapa
 
Barcelona ni timu kubwa sana, na wanaujua mpira
 
kwa mnavobebwa lazma tu
Tuwadharau


Hv unataka kunambia atl Madrid
N tim ndogo au
hivi mkuu uliona hao wanaobebwa walivo mtetemesha mtu mzima fergie?? barca bwana wanyanyase utakavyo kama hawako form ila wakiwa form ni hatari usiombe wakutanishwe na timu yako watawanyanyasa kisaikolojia mwenyewe utaogopa! we huogopi timu inaingia fainali nne inachukua zote? waulize psg ndo wahanga latest wa form ya barca saa izi unaambiwa wachezaji wa psg wanaota ndoto za kutisha kila siku
 
Tar 18& 19 April sio mbali mkuu haya maneno unaweza kuja kuyakataaaa na aibu ikawa kwako!!!! Barcelona na Madrid ni team kubwa sana hakuna wakuzitisha kwa kiasi hicho
Natambua kuwa ni timu kubwa. Lakini juve na Munich nazo ni kubwa pia. Hapa ukiangalia bila makengeza, utaona kabisa bayern wapo vizuri kuliko Madrid kwa sasa. Barcelona dhidi ya juve ni tough game. Yeyote anashinda. Na kwa aiku za karubuni Barcelona hawapo vizuri sana. Wameruhusu mabao kirahisi rahisi sana. Saaa kwa timu aina ya juve wakikupiga goal unaqeza usichomoe kabisa....
 
Sawa mkuu, lkn navyo sema kuwa timu kubwa maana yangu nikuwa wanauwezo wakubadilika na kukamia game kama hizi za mtoano!!!
Viva Barca
 
Wengi humu wanaichukia Barcelona kutokana na mafanikio waliyo yapata katika miaka 12 ya hivi karibuni, kwani wamechukua laliga 8, copa de ley 4 na UEFA 4!!!
Hii ndio sababu kubwa kwa wengi huku wakiona timu zao zimekuwa zikibolonga vibaya sana
 
Ipo ivi wadau kwa atua ya robo fainali sheria inasema timu mbili kutoka nchi moja lazima zikutane ivyoo
Sheria hio ipo tangu lini mkuu? Ikiwa vinazungushwa vipira na unachagua random hio sheria doesnt make sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…