Hapana labda wengine,ila mimi mechi ya PSG niliwaambia watu kuwa Barca hajafa bado wasubiri second leg,wakabisha,kilichotokea ndio kile.
Sasa safari hii nawaambia Barca,msikubali sare yoyote Turin,ni heri hawa jamaa muwaachie goli moko kuliko kutoka nao sare,watakuja kuwauweni Camp Nou.Hao hawana haya hao,hata mshangilie kwa honi za treni uwanjani,wao wanafuataga game plan yao.
Njia pekee ya kummaliza Juve ni pale pale kwake,tena unapiga haswa,au kumuacha ashinde goli moko ili wakija Catalunya waje na yale mawazo yao ya kuficha makalio nyuma,huku mbele wewe unabikiri.
Kinyume na hapo,huyu bibi atafanya yake,ushawahi kuona bibi na bwana wanaingia chumbani ,wewe unajua jamaa anaenda kufaidi halafu unasikia makofi yanarindima humbani na sauti ya kidume inagugumia maumivu kila baada ya mlio wa kofi ha haa.