Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Sio kwa Bayern na Madrid utawakataa hao CitySema hilo ni tetemeko la UEFA, yoyote akijichanganya kifus cha magoli kinamwangukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa Bayern na Madrid utawakataa hao CitySema hilo ni tetemeko la UEFA, yoyote akijichanganya kifus cha magoli kinamwangukia
Napoli wasindikizaji tuKuna Napoli msiwasahau
Mchezaji wa Manchester City Erling Halaand atupia magori matano ⚽ kwenye hatua ya 16 Bora UEFA.
View attachment 2551798
Manchester city 7 -0 Rb Leipzg. Manchester City mabingwa wa UEFA 2022/2023🥇🏆save hii.
Wascandinavia ni kama mashetani vile, unakuta ni blonde hair, macho ya kijani au bluu kabisa then warefu vibaya, Hawa jamaa kama majini vile wanatisha, Nordics. Anajua kufunga.Hivi mna uhakika huyu Halaand ni binadamu mwenzetu?
Au ndio wale reptilian blood?
Hakuna mchezaji anafunga kila sikuSiku linahitajika goli moja la muhimuuuuu,Halaand haonekani. Ndio tatizo. Siku mpinzani akijichanganya,anapiga nyingi.
Wabongo akili zetu siku Chelsea anabeba mliamini?Eti Man City bingwa!!!!
Wapi Bayern Munich?
Wapi Madrid?
Mbona first match hakuuona? Au pep alimzuia?Ni kweri anaujua udhaifu wao uko wapi
Madrid ndo team inatolewaga na Man City ukiacha kubahatisha msimu uliopita embu ongeeni facts acheni porojo za kisukumaSio kwa Bayern na Madrid utawakataa hao City
Wa redbull ya austria sio ya GERMANYHuyu si mchezaji wa red bull? Zaman. Kweli roho mbaya ameifanyia timu zao za zamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikiona 7-0 napatwa na mshtuko
Huwezi kumridhisha kila Mtu duniani.Pep ana roho mbaya sana, hivi alishindwaje kumuacha Halland akamalizia Goli lake moja kuweka rekodi yake? Ni hukuma tena kubwa.