orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
Wakuda kweli kweli Hawa ,Azam hamna kitu pale. Yahani hakuna hata chanel moja inayorusha kwa mwenye kifurushi cha 35,000/-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuda kweli kweli Hawa ,Azam hamna kitu pale. Yahani hakuna hata chanel moja inayorusha kwa mwenye kifurushi cha 35,000/-
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Azam wametukosea sana. Kutangaza mwamba zbc 2 watao yesha alafu tunaona manyoyatu!
Huu ni uhuni na Uwizi kama uwizi mwi gine. Tumelipia tuangalie mechi mnatuletea uhunitu.
Tangu kuzaliwa leo ndio nimejua kuna kima anaitwa, kimapunju🤣Jozani nao msitu ule? Kile kichaka tu, msitu una kimapunju na mijusi sasa ni msitu huo?
Hawa Azam ni wapuuzi kweli wanapiga promo za kipumbavu wakati hawaoneshi.Sijashangaa nilikwishajua yanatengenezwa mazingira watu walipie king'amuzi Kisha baadae tuoneshwe fei bui na samakiba
Na wababe wa kitaa
Unakosaje utamu huu wa EURO....Hahahahahah kazi kwelikweli Azam Tv ni sawa local channels kama ITV,Star tv n.k
DStv SS225 ni mwendo wa building Up after 5mns game IPO open
Mi huwa naenda Banda umiza ni hakuna namnaHawa Azam ni wapuuzi kweli wanapiga promo za kipumbavu wakati hawaoneshi.
package ya 10000 wanaonyesha mechi zote?Unakosaje utamu huu wa EURO....
kuanzia package la Kumi alfu mechi zotee...
👌👌🔥
Je Waarabu?Ndani ya pichi kukiwa na wazungu zaidi ya wanne Camera za azam hazioni hivyo hawaoneshi
waarabu wanaonekana bila shakaJe Waarabu?
Yap ... Ch225package ya 10000 wanaonyesha mechi zote?