Ana point huyu...
Hili suala la kuzidi niliona bora mtu awe amezidi mwili mzima kila kitu ndio iwe Offside
Kweli kabisa
Dogo yuko vizuriNavutiawa na uchezaji wa Williams jr
Mpaka ipatikane standard ya kukubalika na wengi, itachukua muda, alafu hii ya mwili wote kama nilisikia hapa karibuni sjui wameamua niniHili suala la kuzidi niliona bora mtu awe amezidi mwili mzima kila kitu ndio iwe Offside
Utata hauwezi ishaKweli kabisa
VAR siikubali kabisa
Sana tuBado Upo?
Unasomeka vyema kabisa .Mkuu soma ubao