Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
WAmempa mturuki yule beki mpira itakua haukumaliza chakiHii nalo OG aisee watu wanajifunga
Hawa wakirudi na ushindi 2nd half itakua tactic ya kupoteza muda tu.Sema Uturuki wanaonekana hawatoweza kushikilia bomba
Austria 2half wataanza kupiga gengenpressing ya kufa mtu mpaka wajukuu wa Etrugul watapoteanaSema Uturuki wanaonekana hawatoweza kushikilia bomba
aisee kweli mpira nyoko bwana kumbe jamaa walipata goli la tatu. ila leo romania walikuwa unga kweli kweli sijui walikula urojoGOAL! Donyell Malen strikes on the counter-attack! Romania 0-3 NetherlandsView attachment 3032004
Huyu Bwana mdogo Guller na footwork Tamu sana hii mipira anayochonga ni kama Ozil flan ivi 🧠GOAL! Austria 0-1 Turkey (Merih Demiral)View attachment 3032012
Sana tu, hata fainali wanaweza fika na German au FranceHivi hawa wa Dutch wanatoboa kweli leo?
jamaa japo wapate goli tuu ikeka yetu ipone bwnaaAustria ndo basi