Turkey georgia ilikuwa kibokoMpaka sasa game yangu Bora ni Turkey vs Austria
Sawa! Kaka, Na Mark Hii, Usikimbie tu!kaa kwa kutulia. nitakurejea. Mark hii. Ureno anashinda dk 90 na kusonga mbele.
Mi naona wanataka kuagana naye kwa amani🤣Ureno kumwanzisha babu Ronaldo wanataka mechi uwe ngumu
Mkuu Ureno wana bonge la losing,ila nasikitika wanatokaWafaransa tujuane mapema
Wareno Leo hawana Chao dkk 90 tu wakalie huko changing roomMkuu Ureno wana bonge la losing,ila nasikitika wanatoka
Unaangalia mpira?Heeee France wana hali mbayaaa
Livescore inahusikaUnaangalia mpira?