vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Sio mchezo,Yupo vizuriTumpe heshima Pepe,miaka 40 lkn bado anacheza tena kwa timu ya ureno yenye vipaji sio kitu kidogo
Kwa urefu wake angeruka hata kama asinge upata angekuwa amemdisturb jamaa aliye piga kichwaAsingeweza kuupata ule, alikuwa mbele sana
Kwa hio wanaoanguka uwanjani ni wazee?Kweli uzee sio poa Ronaldo leo anasukumwa anapepesuka tu
LEo kounde kazi anayoLeao naona anamgeuza tu Kounde kama anavyotaka
Leao ana furaha kweli visigino vinakubali tuu leoLeo
LEo kounde kazi anayo
Kwa uchezaji wa Ronaldo challenge km hizi alikua halambi sakafu enzi zakeKwa hio wanaoanguka uwanjani ni wazee?
Psg vitinyaHivi huyu namba 23 wa Ureno anacheza timu gani? Anakiwasha sana katikati,Man u wamsajili aisee
Mane alikua sahihi kumtungua ngumi sio?Hamna mchezaji wa hovyo kama huyu. Anaudhi sana.
Huyu saliba kitasa cha maaana, sio guniaSaliba ameachiwa Ronaldo hata jasho hatoki leo