Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Miaka yote England wachezaji muhimu ndo uwa wana mikosi kwenye penati...Kane & Foden wapiga penalty wazuri wa England wametolewa
Mablack ndiyo waliwacost kwenye world cup. Hawaaminiki kabisa kwenye penatiMiaka yote England wachezaji muhimu ndo uwa wana mikosi kwenye penati...
Ngoja tuoneMablack ndiyo waliwacost kwenye world cup. Hawaaminiki kabisa kwenye penati
kwenye penalty hakuna mwenyeweWaingereza wanaweza wakalala na viatu
ππππ
sio unatamani, ANAAGA LEONatamani ENGLAND AAGE MASHINDANO. AKAKAE NA UJERUMANI VIJIWENI KUNYWA GAHAWA