Kwa Hiki Kikosi cha Mkusanyiko Wa MaselaIkitokea Netherlands wameenda final
Bas lazma wakalipize kisas
Cha 2010 pale Kwa madiba
Tutawapiga waspanyola😁😁Fainali itakua nyepesi sana kwa spain
Angefanikiwa Kwenye Hilo kuna Magoli Mengi tu HapaKane anashindwa kujiposition
Kama watawamaliza hawa waandish WA habari bas lazma wajipange vizur kuwakabil SpainKwa Hiki Kikosi cha Mkusanyiko Wa Masela
Kisasi unalipa km unauwezo mzeeIkitokea Netherlands wameenda final
Bas lazma wakalipize kisas
Cha 2010 pale Kwa madiba
umeniwahihuyu Belingham ni muwa sana, jamaa ni wa kuwekwa bench tu
Kwa wakati huu england wako vizuri wanafika langoni wakikaza namna hii mpaka mwisho watapata matokeoFoden wa moto leo..
SureLeo England, at least this first half, are playing really well.