vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Kumbe unataka mabishanowewe naona unataka tuaze mabishano uwo mda sina
Napenda England atolewe mapema tuEngland tuna vurugu sana🤣
Tutazame mpira mkuu au wew hupendi ku enyoy soka la mda huuKumbe unataka mabishano
Mtu anayejua mpira hawezi kutamka maneno ya uongo km yako
Inatakiwa foden kuanza sio saka na wachezaji wa kumaliza wengi tu sio kane tu wamefanya vizuri sana lg kuu, kunautajiri pale?.Uingereza anakosa wachezaji wa kumaliza mechi
Yupo hary kane tu game ikimkataa ndio timu inapotea
Angalia ufaransa, ujerumani spain Italy hawategemei mtu mmoja
Mbeleko gani
Timu penado mnashida
Sidhani, sio kwa hili li DepayPoland anakufa soon
Ndo umeamka sasa hivi?76'
1-1
Shenzi kabisaDepay anakosa nafasi kocha hamtoi
Hhhaahaha sikia kona hiyo.Ndo umeamka sasa hivi?
UnaringaHhhaahaha sikia kona hiyo.
Wuuuuuuu haijazaa matunda. S
tayari washakufaSidhani, sio kwa hili li Depay
HujaniamshaUnaringa