Mkeka umechanikaLeo tumefikwa
Hiyo afanye kwa next match, kwa hii hakuna anachoweza kubadilishaHuyu kocha hana fullback mwingine amuingize then Carrasco asogee karibu na goli. Anakosea sana kumchezesha mbali na goli
wachezaji wa Man-city tangu walivoenda kulewa baada ya kuchukua Premier legue, wamekua wa ajabu sanaDoku ❌
Foden ❌
De Bruyne ❌
Kovacic ❌
Kidogo Rodri kaonekana
Hiyo afanye kwa next match, kwa hii hakuna anachoweza kubadilisha