vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Mbilinge limeanza ?Austria pigeni hao blues
Wewe hatujawahi kufanana timu. Yaani Ata Taifa Stars wakicheza na Kenya tutaofautiana tuAustria tunaenda kuwafundisha mpira France
hawana hiyo jeuriAustria pigeni hao blues
humuoni kati Ngolo alivyotulia na uzi umemkaa kweliAustria tunaenda kuwafundisha mpira France
Alikuwa kwenye position nzuri basi tu kitu imegomaKilian m'binafsi. Haikua na haja ya kupiga direct ile
Jf Var kazi imeanza πKilian m'binafsi. Haikua na haja ya kupiga direct ile
Mnogage πKa'MWENE
VAR uku tumelewa.. ππJf Var kazi imeanza π
Sio kwa France kwanza ivyo vyuma vilivyopo nje ni balaa tuYasije yakajirudia yakina KDB
Wenzetu wanajua kushabikia timu zao aiseeHawa mashabiki wa Austria shikamoo