Ili vibe shikamooWenzetu wa
Wenzetu wanajua kushabikia timu zao aisee
Zambia hapo pengineH
Huyu MWENE sio mjukuu wa Baba wa taifa Nyerere🤔
Sure hawajakaa kindezi sana wanakiwasha vizuri tuLeo underdogs hawajaja kizembe,
France anapambana lakini Austria nao wako moto.
Itawagharimu naona kila mmoja anataka kuweka kambaniWamatumbi/Wandengereko waache ubinafsi pale mbele vinginevyo yatawakuta ya Ubelgiji
Hana madhara huyoDuh Dembele msumbufu.. hii faulo mbaya sana kwa Austria
Ilikua chuma.. angechop kdgDah wamekoswakoswa