2024/25 itaongeaMbape aichunge sana game yake
Anaweza kuwika kwa kipindi kifupi sana akapotea
Kwa umri wake wa miaka 26 ana misimu minne ya kuonyesha burudani
Na Madrid kina vini na Rodrigo hawatakubali kuishi kwenye kivuli chake
Sio mtoto wa try again kweli🤣🤣🤣🤣H
Huyu MWENE sio mjukuu wa Baba wa taifa Nyerere🤔
Sana, mpira unapigwa kweliGame tamu sana
Nasikia kachomesha huko😁Sio mtoto wa try again kweli🤣🤣🤣🤣
Kachomesha kweli kwani uwongo...yeye baadala ya kuclear anarudisha pasi nyumaNasikia kachomesha huko😁
Mbappe bado sana yupo kwenye soka afu ishu ya mchezaji kudumu kwenye soka kwa kipindi kirefu ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya nje ya uwanja Mbappe ni moja kati ya wachezaji wenye self displine kubwa sana nje ya uwanja.ingekua ni Game style Ndani ya uwanja inaamua mchezaji adumu kwa kipindi Gani basi kina Cristiano had leo hii wangekua wametandika daruga maana Game style ni hiyo hiyo ya kina MbappeMbape aichunge sana game yake
Anaweza kuwika kwa kipindi kifupi sana akapotea
Kwa umri wake wa miaka 26 ana misimu minne ya kuonyesha burudani
Na Madrid kina vini na Rodrigo hawatakubali kuishi kwenye kivuli chake