Yani wewe jamaa hata ikiwa inahusu ujasiriamali lazima utaje misambwanda au mbususuHaina ubishi bro...mechi dume.....dakika za jiiooooniiiiii watu wanakandika la tatu. Dah! Talk about entertainment hii ndio burudani yaani ata mbususu haifikii huu utamu
Maisha yana maana gani pasipo mbususuYani wewe jamaa hata ikiwa inahusu ujasiriamali lazima utaje misambwanda au mbususu
A majesti majestic goal 🔥🔥🔥🔥
Pole mzeya bonge la game sidhani kama kuna game itakuja ipiku hii gemuKwa comments za wadau daah nasikitika kuikosa hi game ya mabata mzinga..imeniuma Sana ,live inanoga sana kuliko marudio.
Pole mkuu hii ndo mechi bora kabisa tangu hii euro imeanza na huenda ikawa the best game mpaka mwisho. Uturuki wamepiga magoli yote ya ufundi haswaaaKwa comments za wadau daah nasikitika kuikosa hi game ya mabata mzinga..imeniuma Sana ,live inanoga sana kuliko marudio.
Halikusherekewa unamaanisha niniChukua point uwasimulie wenzie kijiweni...
Goli la Uingereza la jana halikusherehekewa .. sijui why..
Ila Black, wenye ngozi nyeusi ndo walioiwezesha ile game whites wakaibuka na ushindi.
Ubaguzi umeuona wapiUbaguzi Wa Rangi ni dhahiri...
Fkkk.
Tizameni mashindano haya kwa makini.
Tamthilia zilizotafsiliwa hakuna kwan?Azam walichotufanyia,wangese Sanaaaa
Wazee wengi auPortugal Portugal Portugal nimewaita Sina Imani na nyie