Uefa: Huyu Cr 7 ndiyo wa kumlinganisha na Messi ?

Uefa: Huyu Cr 7 ndiyo wa kumlinganisha na Messi ?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Nilichelewa kuona timu zilipoingia uwanjani game ya Juve na Bayerliverkusen,nimetazama game toka dkk ya 12 hadi dkka ya 40 jirani ya niliyekaa nae tukaulizana Hivi ronaldo hayupo kweli ? Wote tuka assume hayupo na jirani zetu pale hawakusema lolote mpaka wanatoka half time.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.
 
Yupo diminishing return, amezeeka sasa, anarudisha chenji, miaka 35 ametosha mbaba wa watu
 
Nilichelewa kuona timu zilipoingia uwanjani game ya Juve na Bayerliverkusen,nimetazama game toka dkk ya 12 hadi dkka ya 40 jirani ya niliyekaa nae tukaulizana Hivi ronaldo hayupo kweli ? Wote tuka assume hayupo na jirani zetu pale hawakusema lolote mpaka wanatoka half time.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.
Tatzo ni UMRI umeshamtupa mkono
 
subiri wakutane na barcelona au bayern au liverpool ndio utajua yupo au kapoa. CR 7 mechi kubwa wanazohitaji matokeo ndio utauona umuhimu wake
Game kubwa kumficha ronaldo ni ngumu ila umri pia umeshaanza kumtema.
 
Nilichelewa kuona timu zilipoingia uwanjani game ya Juve na Bayerliverkusen,nimetazama game toka dkk ya 12 hadi dkka ya 40 jirani ya niliyekaa nae tukaulizana Hivi ronaldo hayupo kweli ? Wote tuka assume hayupo na jirani zetu pale hawakusema lolote mpaka wanatoka half time.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.
Kashafika mwisho huyo sema watu hawataki kukubali!!!
 
Mjadala wa Messi na Ronaldo ushakwisha kitambo sijui ni nini mnachotaka. Hawa watu hawalinganishwi wala kufananishwa Ronaldo yupo anga yake ambayo Messi hakanyagi and vice versa.
 
Acha siasa.
Screenshot_20191002-182035.jpeg



 
Hiyo game ya karibuni ipi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]????
 
Game ya mwisho ya serie A, tarehe 28/09/2019

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

https://www.whoscored.com/Matches/1...us-SPAL-2013 [ATTACH=full]1221874[/ATTACH]
 

Attachments

  • Screenshot_20191002-185305.jpeg
    Screenshot_20191002-185305.jpeg
    39.4 KB · Views: 15
Kashafika mwisho huyo sema watu hawataki kukubali!!!
Haya yeye kafika mwisho kwenye akaunti ana zaidi ya bilioni 250 za kitanzania, na bado zinazidi kuongezeka hata akitundika daluga na uzee wake mnaousema wa miaka 34 bado pesa zitazidi kuingia ..sasa wewe mkuu una miaka mingapi na benki kwako pakoje..
 
Nilichelewa kuona timu zilipoingia uwanjani game ya Juve na Bayerliverkusen,nimetazama game toka dkk ya 12 hadi dkka ya 40 jirani ya niliyekaa nae tukaulizana Hivi ronaldo hayupo kweli ? Wote tuka assume hayupo na jirani zetu pale hawakusema lolote mpaka wanatoka half time.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.
alisikika mlevi mmoja
 
Back
Top Bottom