Uefa: Huyu Cr 7 ndiyo wa kumlinganisha na Messi ?

Uefa: Huyu Cr 7 ndiyo wa kumlinganisha na Messi ?

Nilichelewa kuona timu zilipoingia uwanjani game ya Juve na Bayerliverkusen,nimetazama game toka dkk ya 12 hadi dkka ya 40 jirani ya niliyekaa nae tukaulizana Hivi ronaldo hayupo kweli ? Wote tuka assume hayupo na jirani zetu pale hawakusema lolote mpaka wanatoka half time.
Baada ya matangazo mechi ikaanza Cr7 kaja kuonekana dkka ya 57...tukasema aah yupo...kumbe..yupo,tukashangaa imekuaje ? Akapata chance zaidi ya 4 zingine niyeye na kipa..amezipoteza ! Mwenzetu mmoja hapo akatuambia jamaa kapoa sana sasa hivi na kwamba kuna game ya karibuni ya ligi italy juve walicheza Cr 7 hakupiga shoot hata moja ktk historia yake haijawahi tokea.. na statistis zake zote zilisoma 0.0....siku hiyo..sasa kwa aliyeshuhudia game ya leo atakubaliana na hoja ya huyu striker kuwa chini ya kiwango nowadays kwa asilimia kubwa japo dakika za mwisho alibahatika kufunga goli moja kati ya matatu walioshinda juve.
Jipige pige kifuani sema roho ya uchawi toooooka...
 
Hivi Ronaldo ashawahi kukusanya kijiji tokea aanze kucheza soccer? Japo hata watatu na kuscore!!
 
Fc barcelona vs Inter milan
Umemuona mchezaji bora wa ulaya na dunia ?


Chuki zinawasumbua hawa wajomba...kwa mpira aloucheza Messi jana sidhani kama Ronaldo ashawahi kufanya hivyo ktk maisha yake...Ndio maana nasema hivi " G.O.A.T halinganishwi na mchezaji yeyote duniani, kwa mbali El pibe de Oro/Armando
 
Ni wivuu tuu

Ndio maana hata mitaani ukikutana na watoto wanacheza mpira utasikia wanasema "unacheza kama Messi" huwezi sikia wakisema unacheza kama Ronaldo
😀 😀 Messi anapendeka na anakubalika, na hatatokea another player like Messi, labda baada ya karne 10 zijazo.
 
Chuki zinawasumbua hawa wajomba...kwa mpira aloucheza Messi jana sidhani kama Ronaldo ashawahi kufanya hivyo ktk maisha yake...Ndio maana nasema hivi " G.O.A.T halinganishwi na mchezaji yeyote duniani, kwa mbali El pibe de Oro/Armando

Messi hatari, niliiwekeea mzigo mzigo hyo gem baada ya kufungwa goli la kwanza nikaagiza bucket ya budwizer nikaendelea na mambo yangu nilishasema kama messi yupo ndani inter watasubir sana, MESSI IS INCREDIBLE
 
Messi hatari, niliiwekeea mzigo mzigo hyo gem baada ya kufungwa goli la kwanza nikaagiza bucket ya budwizer nikaendelea na mambo yangu nilishasema kama messi yupo ndani inter watasubir sana, MESSI IS INCREDIBLE

Raha sana Messi akiwemo, anaufanya mchezo uwe mwepesi mno...uwepo wake unanifanya niwe na amani 😊 😊
 
Akimbii sana uwanjani kutokana na umri pia ni namna nzuri ya kubaki mchezoni kwa miaka kadhaa mbele.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimemkumbuka huyu jamaa.Amekurupuka kufungua uzi,baada ya kuhadithiwa mechi za Juve
 
Nasikia Messi kaanza kuuza nguo za vijitu vifupi
 
Pale ambapo Christiano Ronaldo anaendelea kupaa juu na akaunti yake inajaa hadi inakaribia kuvunjika, someone hater in Africa anataka kutema nyongo
Sidhani kama hoja ni akaunti ya benki ya Ronaldo, mbona kama umeingiwa jazba? Bloetu anazungumzia kiwango cha Ronaldo huko Juventus. Ukiona mtu kanunua jezi ya Ronaldo ni kuwa anamkubali uwanjani na sio kwenye akaunti. Na ndio maana hatuvai nguo zenye jina la Gates, tunavaa Lukaku
 
Back
Top Bottom