loosimingori
JF-Expert Member
- Oct 30, 2017
- 920
- 1,145
Ok bora tu wakitane na Bayern et??Mimi kama liverpool fan tangu enzi za gerrard houllier kwa kusema ukweli naogopa sana liverpool akipangwa na barcelona kwenye hatua ifuatayo ya 8 bora.Kama ningekuwa na uwezo basi ningependa sana man city ndio akutane na barca kwenye 8 bora.Sijui wadau wenzangu wa You will never walk alone mnasemaje
u r Beck maamaeeTusubiri tuone
Hahah kitambo *****u r Beck maamaee
Moderator upo???Tusubiri tuone
nipoo nimestaafuModerator upo???
Nafasi yako unaimudu daimanipoo nimestaafu
Sio saaanaNafasi yako unaimudu daima
Sawa msalimie JPMSio saaana
Sawa bossSawa msalimie JPM
Izi bila shaka ni ndoto za mchanaBaca anagongwa vizuri sana
Mpaka sasa timu inayotusha UEFA champs ni madrid si barca. Chelsea hawakuwa na clinical finisher ila walicheza vzr sana. Pia kipa 2a liverpool jana ilikuwa bahati mbaya sana kwake. Magoli mawil yalimpita tobo. Pia ilikuwa bahat nzuri kwa messi, mipira ilifanikiwa kupita kwenye miguu ya kipa. Omba usikutanw na madrid. Jamaa hawana mzaaMimi kama liverpool fan tangu enzi za gerrard houllier kwa kusema ukweli naogopa sana liverpool akipangwa na barcelona kwenye hatua ifuatayo ya 8 bora.Kama ningekuwa na uwezo basi ningependa sana man city ndio akutane na barca kwenye 8 bora.Sijui wadau wenzangu wa You will never walk alone mnasemaje