loosimingori
JF-Expert Member
- Oct 30, 2017
- 920
- 1,145
Kama title hapo juu inavyojieleza.Mimi kama mshabiki wa majogoo wa jiji,jana usiku nilifadhaishwa mno na uamuzi wa UEFA kuifurusha man-U katika UCL kwasababu katika mechi ya mwisho ya UCL man city pia alipoteza 2-1 lakini UEFA imeivusha hadi nane bora.
Kitu ambacho kinafanya niseme man-U imeonewa na UEFA ni kwamba na wenyewe pia jana walipata kichapo cha 2-1 lakini cha kushangaza wenyewe wamefurushwa wakati matokeo hayo hayo yaliivusha man city hatua ya 8 bora.
Nafikiri jana united walidhani wangepata favor ya referee kama walivyopata upendeleo wa referee dhidi ya majogoo wa jiji na walivyocheza na chels.
Muhimu ni kwamba united msirely sana kwenye favor za marefarii kumbukeni kuwa champion league haichezeshwi na marefarii wa Uingereza pale mojawapo ya timu inayocheza ikiwa niya Uingereza
Kitu ambacho kinafanya niseme man-U imeonewa na UEFA ni kwamba na wenyewe pia jana walipata kichapo cha 2-1 lakini cha kushangaza wenyewe wamefurushwa wakati matokeo hayo hayo yaliivusha man city hatua ya 8 bora.
Nafikiri jana united walidhani wangepata favor ya referee kama walivyopata upendeleo wa referee dhidi ya majogoo wa jiji na walivyocheza na chels.
Muhimu ni kwamba united msirely sana kwenye favor za marefarii kumbukeni kuwa champion league haichezeshwi na marefarii wa Uingereza pale mojawapo ya timu inayocheza ikiwa niya Uingereza