UEFA yahamisha fainali ya Champions League kutoka Urusi kwenda Ufaransa

UEFA yahamisha fainali ya Champions League kutoka Urusi kwenda Ufaransa

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
1645791879373.png

Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (Champions League final) iliyokuwa imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Krestovsky jijini Saint Petersburg Nchini Urusi imehamishwa na sasa itachezwa jijini Paris, Ufaransa.

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) limechukua maamuzi hayo kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na Ukraine.

UEFA imethibitisha maamuzi hayo asubuhi ya leo baada ya kikao cha dharura, kuwa fainali hiyo ambayo inatarajiwa kuchezwa Mei 28, 2022 badala ya kwenye uwanja wa awali ambao pia unajulikana kwa jina la Gazprom Arena kutokana na mapigano ambapo Urusi imeivamia Ukraine na kuanzisha mashambulizi ya kutumia silaha.
 
Habari,

Baada ya majeshi ya Urusi kuanza kuingia na kuvamia Ukraine siku chache zilizopita, UEFA imelazimika kuamisha mchezo wa fainali kutoka mji wa St Petersburg.

Mchezo wa fainali ya Mabingwa Wa Ulaya 2022 unatarajiwa kufanyika Paris baada ya St Petersburg kuondolewa kuwa muandaaji wa mchezo huo.

Maamuzi hayo yamekuja kutokana na kikao cha dharura kilichofanyika na mamlaka ya soka barani Ulaya kujaridi hali inavyoendelea baada ya Urusi kuvamia Ukraine.

Ilifahamika kuwa maamuzi ya kubadilisha muandaaji wa mchezo huo wa fainali hiyo yatatoka siku ya Alhamis baada tu ya Jeshi la Urusi kuingia Ukraine. Japo maamuzi hayo yalichelewa huku wakitafuta sehemu na kiwanja kitakachotumika kuchezea fainali hiyo.

Fainali imepangwa kuchezwa uwanja wa Stade De France mji wa Saint-Denis Tarehe 28 Mei 2022 saa 2000(GMT)

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu.
 
Kwanza urusi anaweza vita kuliko soka. Zamani nilikuwa sijui kama zeruzeru ni wabaya kuliko wajaluo ila siku hizi nimejua. Hasa kwa kuhakikisha kwa huyu mmoja hapa kwetu.
 
Sawa kabisa, wao na mpira wapi na wapi ngoja tu wapigane because to them war is a profession.
 
Hatimaye mechi ya fainali imerudishwa tena St. Petersburg. Kuchezwa May 28, 2022.
 
Back
Top Bottom