UEFA yatangaza kikosi cha wachezaji bora Klabu Bingwa

Golikipa:Olivier khan. Beki: maldini.r Carlos. Sol Campbell. Cannavaro Kiungo: makelele. Zidane. Ronaldinho. Pirlo. Forward: Van Nistelrooy. Samuel Ettoo. Hiki kikosi kinawakalisha nyingi hiyo first eleven yao
 
GK: oliver khan
DEF: cafu, Cannavaro, Nesta, R carlos
MID: Makelele, Xavi, Zidane
FW: Gaucho, Messi, C Ronaldo

Sub: buffon, lahm, lucio, seedorf, scholes, nedved, del piero, raul
 

Umesema vizuri.. vipi kuhusu Raul Gonzalez
 
Raul vipi? Yaani Chogo anamkalisha Raul?

Hata mie nimemuuliza hilo swali kabla sijaona comment yako.. Raul record yake imevunjwa juzi hapa na jamaa wawili (cr7 na mss) lakini hayupo..
 
Zinedine Zidane hawezi kuwa mbadala yaani reserve?? Hawa wanatania.
 
Raul,pilor,jeremiah,Gatuso,morientes,cafu,nesta,maldin,seedof,
 
niliangalia magoli bora ya madrid ebana kuna watu aisee.
 
Zidane hayumo first eleven, giggs hayupo hata sub, hiki ni kikosi cha Jecha labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…