Hii list ni ya kibiashara zaidi ila siyo ya kimichezo, kwa sababu ukizungumzia magoli, Raul record yake haiwezi kumwacha nje, ukizungumzia viungo, nina hakika Zidane kukaa benchi ni kashfa kwa tuliomwona akicheza soccer.
Eti Dinho naye anakaa benchi kina Thiery wanaanza!
Kumuweka Dhinho pembeni kunaifanya hiyo orodha inakua najisi na inakosa uhalali wa kimaadili,kisheria na kifalsafa.
De lima wamemuacha?
Afrika amekosa hata etoo au drogba,jamani.