Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Habarini Wanamichezo.
Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.
Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)
Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.
Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.
Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.
KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?
Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?
Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?
Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.
Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.
Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)
Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.
Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.
Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.
KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?
Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?
Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?
Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.