UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

Kusema Real Madrid kachukua back to back uefa eti kisa vilabu vingine sio bora si kweli kuna vilabu vingi vimeshindwa fanya hivyo katika zama hizi Mfano, Barcelona,Juventus,Atletico,Bayern usifosi tuamini kuwa timu zimekuwa nyepesi kwahiyo ni madrid pekee ndio imebaki timu ngumu ulaya hadi ionee wengine na kwa uelewa wako kuanzia mwaka gani unahisi uefa imeanza kuwa nyepesi?
Madirid si alibebwa bebwa tu..
 
Mtu kucheza zamani haimaanishi yeye ni bora kuliko wachezaji wa sasa tunaangalia statistics zao na hao unaosifia kisa wa zamani tu kwa uefa sina shaka na Ronaldo hata ukimlinganisha na. hao wa zamani

Mkuu football sio statistic, hayo mambo ya statistic yamkuja juzi na moja ya maajabu ya huu mchezo wa sasa.

Kwa vigezo vya statistic Basi Henry atakua ni bora kuliko Zidane.
Giroud ni bora kuliko Zidane, Platini.
Thomas Muller ni bora kuliko Klinsmann, Matthaus

Zinduka Dogo
 
Back
Top Bottom