Bongo hatuko ratinal, ngono tuKenya katika kundi la vijan 10
6 wanajua sheria na katiba ya nchi hata Kama elimu Yao ni high School
2 wanajua kuhusu IT
1-2 wana elimu haswa
LAKINI TANZANIA
Katika vijana 10, 8 ni mashabiki wa mpira wa Simba na yanga Stupid fans
2 ni C.C.M ambassador
Poor Tanzania
Ujinga ni mtaji wa CCM, akina Mwigulu wanafurahia kutawala manyangarakasha ndiyo sababu haishi kusema hamieni Burundi na sasa hamieni Marekani akiamini Tanzania ni mali ya CCM.Vijana wana mambo ya kijinga sana ni wachache wanajitambua...
Unakuta kijana yupo biz na gemu yaan ujinga ujinga tu
Nahizi je, "Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".Hizi takwimu kuhusu Kenya sijui mnazitoleaga wapi. Yaani utakuta mtu anaisifia Kenya na hata hajawahi kufika kupaona pakoje.
Kenya ya jamiiforums utadhani wanapumua hewa ya blue.
Sikatai kuhusu elimu ya Kenya kuwa Bora lakini it's not that much guys acheni shobo na dharau kwetu basi.
NB: nimesomea huko tokea msingi Hadi form four so nakujibu out of experience ya almost miaka 19 ndani ya ardhi ya Kenya.
Kenya katika kundi la vijan 10
6 wanajua sheria na katiba ya nchi hata Kama elimu Yao ni high School
2 wanajua kuhusu IT
1-2 wana elimu haswa
LAKINI TANZANIA
Katika vijana 10, 8 ni mashabiki wa mpira wa Simba na yanga Stupid fans
2 ni C.C.M ambassador
Poor Tanzania
Hizi ziko Sawa kabisa. Kwa nchi yetu it's like wamepuuza elimu wamejikita Kwenye kusoma na kuandikaNahizi je, "Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".
Yani you are broke afu una mambo unayo penda? Brother unapata faida gan yang na Simba ziki win cups? Since 2000 mpaka leo ? Will that help you to drive Audi?Kuna ukweli,
Lakini nauliza, watu kupenda mambo wanayopinda kosa lao inakuwa nini mpaka wawe "stupid fans"?
I'm a bossWewe upo kundi gani Hapo, kiongozi? Au wewe ni special?
I
I'm a boss
Nawe uko kwenye kundi la wasio na elimu, jumlisha hizo asilimia upate asilimia 100.Hizi ziko Sawa kabisa. Kwa nchi yetu it's like wamepuuza elimu wamejikita Kwenye kusoma na kuandika
Tatizo ni kuhisi kila mtu yuko Kama wew tafuta Kaz ufanyeMitanganyika mnachekesha sana, kila mtu anaona wenzake wajinga isipokua yeye afu yeye mwenyewe hamna kitu kafanya zaidi ya hao wenzake na kuandika mitandaoni tu ππ you're no different mate.
Mitanganyika kazi mnayoweza ni kusifia wakenya tu na ukeyboard warriors tu. Nyoka kibisa
Tatizo ni kuhisi kila mtu yuko Kama wew tafuta Kaz ufanye
Tafuta kazi ufanye mzee umasikini utakuua unaongea Kwa uchungu sanaaa π€£π€£π€£π€£π€£Mitanganyika mnachekesha sana, kila mtu anaona wenzake wajinga isipokua yeye afu yeye mwenyewe hamna kitu kafanya zaidi ya hao wenzake na kuandika mitandaoni tu ππ you're no different mate.
Mitanganyika kazi mnayoweza ni kusifia wakenya tu na ukeyboard warriors tu. Nyoka kibisa
Tafuta kazi ufanye mzee umasikini utakuua unaongea Kwa uchungu sanaaa π€£π€£π€£π€£π€£
Tafuta kazi ufanye mzeeπ€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ You must not know me.
Tafuta kazi ufanye mzeeπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ninarudia tena, soma vizuri uelewe kisha ujumlishe asilimia 86 na asilimia 79 utapata asilimia ngapi. "ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".Hizi ziko Sawa kabisa. Kwa nchi yetu it's like wamepuuza elimu wamejikita Kwenye kusoma na kuandika