Uelewa wa Katiba kati ya Vijana wa Tanzania na Kenya

Uelewa wa Katiba kati ya Vijana wa Tanzania na Kenya

Kenya katika kundi la vijan 10

6 wanajua sheria na katiba ya nchi hata Kama elimu Yao ni high School

2 wanajua kuhusu IT

1-2 wana elimu haswa

LAKINI TANZANIA
Katika vijana 10, 8 ni mashabiki wa mpira wa Simba na yanga Stupid fans

2 ni C.C.M ambassador

Poor Tanzania
Bongo hatuko ratinal, ngono tu
 
Vijana wana mambo ya kijinga sana ni wachache wanajitambua...

Unakuta kijana yupo biz na gemu yaan ujinga ujinga tu
Ujinga ni mtaji wa CCM, akina Mwigulu wanafurahia kutawala manyangarakasha ndiyo sababu haishi kusema hamieni Burundi na sasa hamieni Marekani akiamini Tanzania ni mali ya CCM.
 
Hizi takwimu kuhusu Kenya sijui mnazitoleaga wapi. Yaani utakuta mtu anaisifia Kenya na hata hajawahi kufika kupaona pakoje.
Kenya ya jamiiforums utadhani wanapumua hewa ya blue.
Sikatai kuhusu elimu ya Kenya kuwa Bora lakini it's not that much guys acheni shobo na dharau kwetu basi.
NB: nimesomea huko tokea msingi Hadi form four so nakujibu out of experience ya almost miaka 19 ndani ya ardhi ya Kenya.
Nahizi je, "Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".
 
Kenya katika kundi la vijan 10

6 wanajua sheria na katiba ya nchi hata Kama elimu Yao ni high School

2 wanajua kuhusu IT

1-2 wana elimu haswa

LAKINI TANZANIA
Katika vijana 10, 8 ni mashabiki wa mpira wa Simba na yanga Stupid fans

2 ni C.C.M ambassador

Poor Tanzania

Kuna ukweli,

Lakini nauliza, watu kupenda mambo wanayopinda kosa lao inakuwa nini mpaka wawe "stupid fans"?
 
Nahizi je, "Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".
Hizi ziko Sawa kabisa. Kwa nchi yetu it's like wamepuuza elimu wamejikita Kwenye kusoma na kuandika
 
Kuna ukweli,

Lakini nauliza, watu kupenda mambo wanayopinda kosa lao inakuwa nini mpaka wawe "stupid fans"?
Yani you are broke afu una mambo unayo penda? Brother unapata faida gan yang na Simba ziki win cups? Since 2000 mpaka leo ? Will that help you to drive Audi?
 
Tumefanya nao kazi hao wakenya.weupe tu hamna kitu
 
I

I'm a boss

Mitanganyika mnachekesha sana, kila mtu anaona wenzake wajinga isipokua yeye afu yeye mwenyewe hamna kitu kafanya zaidi ya hao wenzake na kuandika mitandaoni tu 😂😂 you're no different mate.

Mitanganyika kazi mnayoweza ni kusifia wakenya tu na ukeyboard warriors tu. Nyoka kibisa
 
Mitanganyika mnachekesha sana, kila mtu anaona wenzake wajinga isipokua yeye afu yeye mwenyewe hamna kitu kafanya zaidi ya hao wenzake na kuandika mitandaoni tu 😂😂 you're no different mate.

Mitanganyika kazi mnayoweza ni kusifia wakenya tu na ukeyboard warriors tu. Nyoka kibisa
Tatizo ni kuhisi kila mtu yuko Kama wew tafuta Kaz ufanye
 
Hizi takwimu ulifanya research. Basi tutumie proposal tuione na reoort yako please.
 
Mitanganyika mnachekesha sana, kila mtu anaona wenzake wajinga isipokua yeye afu yeye mwenyewe hamna kitu kafanya zaidi ya hao wenzake na kuandika mitandaoni tu 😂😂 you're no different mate.

Mitanganyika kazi mnayoweza ni kusifia wakenya tu na ukeyboard warriors tu. Nyoka kibisa
Tafuta kazi ufanye mzee umasikini utakuua unaongea Kwa uchungu sanaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila uliyeandika nawe si ulipitia hatua za ujana mbona hukujikomboa mda mwingine kabla hujaongea onyesha mfano
 
Hizi ziko Sawa kabisa. Kwa nchi yetu it's like wamepuuza elimu wamejikita Kwenye kusoma na kuandika
Ninarudia tena, soma vizuri uelewe kisha ujumlishe asilimia 86 na asilimia 79 utapata asilimia ngapi. "ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".
 
Back
Top Bottom