Hizi takwimu kuhusu Kenya sijui mnazitoleaga wapi. Yaani utakuta mtu anaisifia Kenya na hata hajawahi kufika kupaona pakoje.
Kenya ya jamiiforums utadhani wanapumua hewa ya blue.
Sikatai kuhusu elimu ya Kenya kuwa Bora lakini it's not that much guys acheni shobo na dharau kwetu basi.
NB: nimesomea huko tokea msingi Hadi form four so nakujibu out of experience ya almost miaka 19 ndani ya ardhi ya Kenya.