Uelewa wa Katiba kati ya Vijana wa Tanzania na Kenya

Uelewa wa Katiba kati ya Vijana wa Tanzania na Kenya

Ninarudia tena, soma vizuri uelewe kisha ujumlishe asilimia 86 na asilimia 79 utapata asilimia ngapi. "ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022".
🤣🤣🤣🤣🤣 Imebidi nijicheke Kwanza.
 
Hizi takwimu kuhusu Kenya sijui mnazitoleaga wapi. Yaani utakuta mtu anaisifia Kenya na hata hajawahi kufika kupaona pakoje.
Kenya ya jamiiforums utadhani wanapumua hewa ya blue.
Sikatai kuhusu elimu ya Kenya kuwa Bora lakini it's not that much guys acheni shobo na dharau kwetu basi.
NB: nimesomea huko tokea msingi Hadi form four so nakujibu out of experience ya almost miaka 19 ndani ya ardhi ya Kenya.
Sasa kwann usibaki kenya boya wewe
 
Back
Top Bottom