Uelewa wa mashabiki wa Yanga ni mdogo sana

Alivyokuwa akikebehi Yanga SC baada ya kushinda Keshi mlimpa adhabu gani kama klabu?

Alivyomchoma bisibisi mshabiki baada ya kutaniwa mlimpa adhabu gani?

Je mlimvunjia mkataba?

Kama HAKUNA kilicho fanyika usijielezee sana.
Huna akili

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Umeandika ukweli sana aisee wasipokuwinda wakuue mshukuru Mungu sana [emoji23][emoji23]
 
Makolo Bhn Makombe Yote Tumewavua Ubingwa...Tumecheza Mechi Nne Msimu Uliopita Hamjatufunga Hata Goli La Offside Zaidi Ya Kuambulia Vipigo Na Sare...Hivi Hizo Nguvu Za Kuongea Mnatoa Wapi Aisee! [emoji16]
 
Yani yanga imekua utopolooo alisikika shabiki mmoja wa Yanga.
 
Nyie endeleeni kuanzisha nyuzi za kuidiss Yanga huku kwenu gubu la wifi lishaanza,soon mtajua kama hamjui
 
Hizo unazoziita assets sidhani kama zina huo uwezo wa kusaidia kutatua maswala ya kifedha kwa ajili ya uendeshaji wa timu

Mara nyingi hizo assets ndio zimekuwa zikiendeshwa kupitia pesa ya huyo huyo mwekezaji yani zenyewe kama zenyewe haziweki kujiendesha.

Usiseme kwenye nia kuna njia, hiyo nia unazungumzia mashabiki au hao wanao run hiyo operation ya mchango kuwa wakijidhatiti kuhamasisha mashabiki basi swala la uwanja litawezekana?

Kama unafikiria hivyo ndugu yangu basi uko mbali na uhalisia, kama katika kipindi kile mashabiki hawakuweza hata kuchanga milion 70 ndio iwe bilion 2?
 
Mimi ni yanga ila kiukweli kocha luc hakukosea wengi wa mashabiki wa yanga ni hamnamo kitu kichwani. Mwenye akili timamu au educated hauwezi kwenda airport kupokea watu wasio kuhusu eti sababu ni wapinzani wa wapinzani wenu.
 
Ukiishabikia yanga uzee wako utaishia kiroga majirani zako tu
 
acha upumbavu,na umbumbumbu.
treble ni ku win 3 trophies in a single season.ficha upumbavu wako bwege we
 
acha upumbavu,na umbumbumbu.
treble ni ku win 3 trophies in a single season.ficha upumbavu wako bwege we
Usidandie comment angalia ilipoanzia hivi yanga ujinga mtaacha lini yaani mnahesabu mpaka ngao ya jamii [emoji23]
 
Usidandie comment angalia ilipoanzia hivi yanga ujinga mtaacha lini yaani mnahesabu mpaka ngao ya jamii [emoji23]
wewe ndio mjinga, umejibu comment ya mdau, kupitia Ile picha ya lile fuso, limeandikwa treble. ukasema hiyo treble ni kuchukua kombe mara 3 mfululizo. ndio nakufahamisha, ni kuchukua makombe matatu katika msimu mmoja.acha uboya mbumbumbu fc
 
Kabla sijaona hii post yako nilikua naamini mimi ndo Mpumbavu nambari moja kwenye hii forums.

TREBLE ni kuchukua kombe misimu mitatu mfululizo? Sikukutendea haki unastahili namba moja.
 
wewe ndio mjinga, umejibu comment ya mdau, kupitia Ile picha ya lile fuso, limeandikwa treble. ukasema hiyo treble ni kuchukua kombe mara 3 mfululizo. ndio nakufahamisha, ni kuchukua makombe matatu katika msimu mmoja.acha uboya mbumbumbu fc
Kenge kweli sasa mimi ndo nakufahamisha simba waliandika treble kwa kumaanisha kuchukua kombe la ligi kuu mara tatu mfulilizo sio kama utopolo wana hesabu mpaka ngao ya jamii au bado hujaelewa ni mwite kabwili akueleweshe vizuri treble iliyoandikwa kwenye fuso la simba ina maana tofauti na treble mnayosema yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…