Hamna treble ni kuchukua ngao ya jamii bila kifungwa kma mmeshindwa kumuelewa manara alipoawaambia mnaanzia hatua ya awali sio lazima na mimi unielewe kwani utopolo mnazo hzo akili za kuchanganua mambo.Kabla sijaona hii post yako nilikua naamini mimi ndo Mpumbavu nambari moja kwenye hii forums.
TREBLE ni kuchukua kombe misimu mitatu mfululizo? Sikukutendea haki unastahili namba moja.
Mara tatu mfurulizo ni treble? hii kamusi ya wapi?Kenge kweli sasa mimi ndo nakufahamisha simba waliandika treble kwa kumaanisha kuchukua kombe la ligi kuu mara tatu mfulilizo sio kama utopolo wana hesabu mpaka ngao ya jamii au bado hujaelewa ni mwite kabwili akueleweshe vizuri treble iliyoandikwa kwenye fuso la simba ina maana tofauti na treble mnayosema yanga.
Hakuna treble ya kuchukua mfululizo labda utueleze hiyo maana umeitoa tafsiri gani?Kenge kweli sasa mimi ndo nakufahamisha simba waliandika treble kwa kumaanisha kuchukua kombe la ligi kuu mara tatu mfulilizo sio kama utopolo wana hesabu mpaka ngao ya jamii au bado hujaelewa ni mwite kabwili akueleweshe vizuri treble iliyoandikwa kwenye fuso la simba ina maana tofauti na treble mnayosema yanga.
Ngoja nikufafanulie utopolo maana nyie akili zenu ni za kuvukia bara bara tuMara tatu mfurulizo ni treble? hii kamusi ya wapi?
Mkuu nishatoa ufafanuzi ila unatakiwa uelewe kwanza mambo madogo madogo kama double au dual halafu ndo ulewe treble tatizo mmekariri hivi mnaenda lini airport kuwapokea wydad wanakuja taifa kucheza simba day.Hakuna treble ya kuchukua mfululizo labda utueleze hiyo maana umeitoa tafsiri gani?
Three sporting victories or championships in the same season. ume elewa nini hapo wewe mkemia feki kama jiweNgoja nikufafanulie utopolo maana nyie akili zenu ni za kuvukia bara bara tu
Treble can be :‐
Three sporting victories or championships in the same season.
Or can be
A number or amount which is three times
Also can be :–
Make or become three times
Usibishane na sisi tuliosoma organic chemistry A level hayo mambo tumecheza nayo sana utaelewa tetra kweli au hexa.
Sasa utopolo nafunga mjadala wa treble kama hujaelewa sasa rasi simba anaweza akawa mkombozi wako.
"Mashabiki wa Yanga Sc hawajastarabika, wanapayuka kama mambwa na ninawafananisha na Manyani" - Hii kauli iliwauma balaa, ila ndohovyo haikuwa na uongo wowote😂Ismail Aden Rage alikuwa sahihi kabisa kuwaita mbumbumbu.
Dah mwalimu wako kweli alikuwa na kazi wakati anakufundisha.Three sporting victories or championships in the same season. ume elewa nini hapo wewe mkemia feki kama jiwe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kukariri Tetra na Hexa umejiona umeyapatia [emoji22] Sensa ijayo wahesabu idadi ya vichaa kama weweNgoja nikufafanulie utopolo maana nyie akili zenu ni za kuvukia bara bara tu
Treble can be :‐
Three sporting victories or championships in the same season.
Or can be
A number or amount which is three times
Also can be :–
Make or become three times
Usibishane na sisi tuliosoma organic chemistry A level hayo mambo tumecheza nayo sana utaelewa tetra kweli au hexa.
Sasa utopolo nafunga mjadala wa treble kama hujaelewa sasa rasi simba anaweza akawa mkombozi wako.
Yanga hamna mwenye akili pale mngekuwa na akili msingepiga picha na Morrison mkadai mmeshasaini miaka mitatu kumbe ilikuwa wanawakamata mazuzu kama nyinyi pale yanga kuanzia wanasheria viongozi wote vilaza ndo maana Morrison aliwashinda kwenye kesi,Kukariri Tetra na Hexa umejiona umeyapatia [emoji22] Sensa ijayo wahesabu idadi ya vichaa kama wewe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
UmeuwaWote mashabiki wa Yanga na Simba Wana utaahira ndani yao,wenye akili Ni GSM,MO na wachezaji(ajira)
kajamaa kapumbavu kweli, katafute neno lingine,sio treble,Kabla sijaona hii post yako nilikua naamini mimi ndo Mpumbavu nambari moja kwenye hii forums.
TREBLE ni kuchukua kombe misimu mitatu mfululizo? Sikukutendea haki unastahili namba moja.