alitumia 3-5-2... na sio 3-4-3Van gal kautumia sana pale OT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alitumia 3-5-2... na sio 3-4-3Van gal kautumia sana pale OT
Yes, ingawa mifumo yote ya kutumia mabeki 3 inahitaji nidhamu na ustadi mkubwa sana wa wachezaji nafikiri hili ndicho kilikosekana na babu wa watu akaamua kumwaga manyanga.alitumia 3-5-2... na sio 3-4-3
Uwe unasema kweli.ambao wanaelekea kwenye nafasi yao ya 4.
Yes mkuu, na uki add game ya juzi inakuwa ya nane tangu mfumo huu uanze kutumika huku chelsea ikiwa imetupia magoli 22 na wao kufungwa 2 tu.mfumo huu ulianza baada ya kupigwa 3 na arsenal....huu mfumo umeruhusu goli moja tu...dhidi ya spurs
Timu ipi hiyo yenye foward wenye speed??Chelsea for ever,ila naona siku tukipata forward zenye speed naona tutateseka.
Kwa mfumo huo na wachezaji hao unawaza nini ukikutana na Madrid iliyo katika ubora wakeYes mkuu, na uki add game ya juzi inakuwa ya nane tangu mfumo huu uanze kutumika huku chelsea ikiwa imetupia magoli 22 na wao kufungwa 2 tu.
ambao wanaelekea kwenye nafasi yao ya 4.
[emoji2] [emoji2] ongelea epl kwanza, maana uefa chls hayumoKwa mfumo huo na wachezaji hao unawaza nini ukikutana na Madrid iliyo katika ubora wake
Mfumo huu ni dynamic, na ndiyo maana tunasema lazima uwe na wachezaji makini na wanaoelewa nini kinatakiwa kufanyika uwanjani na kwa wakati gani. Kwa mfano kama timu haina mpira basi mfumo huu hubadilika na kuwa 5 - 4 - 1
X6 na X7 wakishuka kuwa mabeki wa pembeni; wakati huo huo X11 na X9 wakishuka kuchukua nafasi zao kwenye midfield na wakiungana na X4 na X5. Timu ikiwa na mpira na inakwenda kushambulia basi mfumo huu unabadilika na kuwa
3 - 2 - 5 ; Engine za Kiungo yaani X6 (Alonso) na X7 (Moses) wanaungana na Kina Pedro, Costa na Hazard kusukuma mashambulizi huku wakiwa makini endapo timu itapoteza mpira kuwa makini wasikamatwe wakiwa off position. Mchezo mzuri wa kutumia akili - kosa moja na mchezaji ndiyo msiba kwa timu nzima.
Tunarudia kusema tena kwamba - so far so good kwa Conte - game ya 8 consecutive win's.
Full time Eva 2 Vs 1 ArsenalTafadhali sana mchezo mfumo huo huo mechi ya marudiano na Arsenal. Tungependa mno tuwagonge 3 zingine mkiwa na huo wazimu wenu.
Kwani Everton ndio kipimo chetu? Kwa hiyo unataka kuniambia second leg Diego Babu hatopakatwa na Mustafi Madevu sababu tu umemfunga Everton 5?Full time Eva 2 Vs 1 Arsenal
full time Eva 0 vs 5 Chelsea
tutakutana next Yr 2017 second leg.
Weka akiba ya maneno, hakuna jambo jipya chini ya jua. Huo mfumo au kushinda mechi 10 mfululizo ndio kitu kipya kwako?Game ya kumi sasa Chelsea wanashinda, huu ni mchezo mzuri na pia ni mgumu sana, inahitaji uwe na wachezaji wenye mbio, wachezaji wenye kuweza kuhold mipira, na wachezaji wenye uwezo wa kukimbia na mipira
Ukiangalia mechi ya Sunderland nao waliingia na mfumo huohuo na hiyo mechi ilikuwa na watu nane katikati ya uwanja, Chelsea waliwazidi Sunderland kwenye wing ya kushoto (Alonso)
All in all mimi huwa nasema Chelsea ina wachezaji 15 uwanjani, saba wanakaba, saba wanashambulia na kipa mmoja, maana timu ikiwa kwenye pressure wale midfield wanne wanarudi kuungana na wale mabeki watatu na kufanya watu saba kuwa wanakaba na wale striker watatu wanarudi kuwa midfielders, na wakati wa kushambulia wale midfielder wanne wanaenda kutia nguvu mbele na wanakuwa wachezaji saba
Katika ile mechi ya Sunderland mpaka muda wa mapumziko kipa wa Chelsea alikuwa hajadaka mpira zaidi ya kupokea backpass na yeye kuwa kama mchezaji wa ndani
Wakiendelea hivi Chelsea wanaweza kuchukua kombe
Aya maneno yako yatunze tu naamini yatakurudia.next year.Kwani Everton ndio kipimo chetu? Kwa hiyo unataka kuniambia second leg Diego Babu hatopakatwa na Mustafi Madevu sababu tu umemfunga Everton 5?
We mtamu tu babu, kampa ...utatupa tena. This time utakula 2 nyumbani kwako. Jiandae kupaki tupakue