johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Wewe utakuwa siyo mmachame.....utakuwa mrombo!Utadhan unataga. Na kama unataga lazima utage mayai yako humu jamvini? Kafie mbali huko unakera. Kila siku uzi kuhusu chadema mbowe na wachaga hovyo kabisa. Unakera.
Pambaff
Demokrasia ni makubaliano ya watu. Na siyo nani amekaa madarakani muda gani.Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.
Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!
Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?
Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?
Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.
Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
johnthebaptist,
Kwa sababu uwenyekiti sio lazima chadema tu na wamerudi CCM basi wagombee uenyekiti hapo CCM Au unaonaje boss?
Wanachama wapi? Wale waliopewa T-shirt kabla ya uchaguzi?..hata ccm huwezi kum-challenge mwenyekiti wa chama taifa aliyeko madarakani.
..John Shibuda alitimka CCM baada ya kufanyiwa figusu alipoonyesha nia ya kugombea Uenyekiti.
..Cecil Mwambe hakuwa tayari kumpiku Freeman Mbowe. He had a chance, chama kilimpitisha, lakini hakuwa amejijenga kwa wanachama wa CDM
JokaKuu,
Zitto alishajijenga sema mzee Mtei alimfanyia mtima nyongo!
Nafasi ipo Kama akiamua kugombeajohnthebaptist, Mkuu Nakukubali sana sana Mkuu,samahani hivi Sumaye alivyorudi CCM anaweza kugombea Uenyekiti?
Naona Amerudi kwenye Demokrasia.
Naomba majibu Mkuu wangu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachama wapi? Wale waliopewa T-shirt kabla ya uchaguzi?
Ndio itamlazimu agombee urais kwanza.
Unajua huku CCM Rais wa JMT ndiye Mwenyekiti wa chama!
Nafasi ipo Kama akiamua kugombea
Asingefanyiwa figisu uchaguzini angekuwepo hadi leo!..kitendo cha Cecil Mwambe kuhama kimethibitisha kwamba hakustahili kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CDM.
..Hivi CDM wangekuwa na hali gani sasa hivi kama Mwenyekiti angekuwa na Mwambe halafu abwage manyanga kama alivyofanya.
Membe anataka urais bwashee.Kwahiyo Ule Utaratibu wetu wa Miaka 10 kwa Mwenyekiti aliepo Hauwezi Kumzuia Mwingine Asigombee?
kama mtu anataka Kushindana na Mwenyekiti wetu,kwanini Asimuachie Mwenyekiti wetu aendelee tuu Peke yake,kwani Katufanyia Mazuri Mnoo,Au wewe Unaonaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kina Mwambe, Sumaye na taka wengine, waliojisalimisha ccm ndiyo waliutaka uenyekiti, bora Mbowe mara 100Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.
Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!
Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?
Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?
Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.
Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kwani Mwambe amefukuzwa? Lakini je huko CCM kuna mtu mwenye ubavu wa hata kujaribu kuchukua fomu? Kwa hili kama CHADEMA ni moto basi huko CCM ni jehanum!Nilisema hili mapema sana! Jf wakawa wanafuta michango yangu kuiondoa hum jf ili wana jf wasiisome, walizani wa wasiisome, nilijua una mtu wanamfurahisha ila hawakuzingatia nilichokisema!
labda nikumbushie kwa ufupi.
Nilisema , siasa nibiashara nzuri sana ukiipatia na nikatolea mfano kwa chadema kuwa nikibubu cha mbowee kupiga pesa, ndo maana anaona akiondoka pale masrahi yake na watu wake yataharibika na si masrahi ya chama.
nikatoa tahadhari ya chama kupukutika kwa kuwa viongozi waandamizi wa chama pamoja na wabunge walichoka kuchangishwa bila masrahi ya chama.
wanachama wamekuwa wakishuhudia matumizi ya fedha hovyo kwa baadhi ya watu ndani ya chama.
lakini pia wanachama na wabunge wameshuhudia teuzi za viongozi kwa lengo la ukaribu na mwenyekiti na kamati yke
Sasa chama kinaisha kwahoja rahisi eti WASALITI!!! mara wananunuliwa wanashawishiwa bila kuchunguza tatizo.
Narudia kuwaambia tatizo ni mbowe na mapato ya chama wataisha wte na watakao baki niwale wanaotafuna pesa tu.
CHADEMA amka fukuza mbowe na genge lake muokoe chama.
Ule msemo wa mbowe tuvushe umebadirika umekuwa mbowe tumalize.
Kwani Si Tuna Utaratibu Lazima MTU amalize Miaka 10?Membe anataka urais bwashee.
Baada ya hapo ndio uenyekiti wa chama unakuja wenyewe automatically!
Asingefanyiwa figisu uchaguzini angekuwepo hadi leo!
Utashindanaje na Rais?....... Uwe unaelewa bwashee!Kwahiyo Ule Utaratibu wetu wa Miaka 10 kwa Mwenyekiti aliepo Hauwezi Kumzuia Mwingine Asigombee?
kama mtu anataka Kushindana na Mwenyekiti wetu,kwanini Asimuachie Mwenyekiti wetu aendelee tuu Peke yake,kwani Katufanyia Mazuri Mnoo,Au wewe Unaonaje?
Sent using Jamii Forums mobile app