Nilisema hili mapema sana! Jf wakawa wanafuta michango yangu kuiondoa hum jf ili wana jf wasiisome, walizani wa wasiisome, nilijua una mtu wanamfurahisha ila hawakuzingatia nilichokisema!
labda nikumbushie kwa ufupi.
Nilisema , siasa nibiashara nzuri sana ukiipatia na nikatolea mfano kwa chadema kuwa nikibubu cha mbowee kupiga pesa, ndo maana anaona akiondoka pale masrahi yake na watu wake yataharibika na si masrahi ya chama.
nikatoa tahadhari ya chama kupukutika kwa kuwa viongozi waandamizi wa chama pamoja na wabunge walichoka kuchangishwa bila masrahi ya chama.
wanachama wamekuwa wakishuhudia matumizi ya fedha hovyo kwa baadhi ya watu ndani ya chama.
lakini pia wanachama na wabunge wameshuhudia teuzi za viongozi kwa lengo la ukaribu na mwenyekiti na kamati yke
Sasa chama kinaisha kwahoja rahisi eti WASALITI!!! mara wananunuliwa wanashawishiwa bila kuchunguza tatizo.
Narudia kuwaambia tatizo ni mbowe na mapato ya chama wataisha wte na watakao baki niwale wanaotafuna pesa tu.
CHADEMA amka fukuza mbowe na genge lake muokoe chama.
Ule msemo wa mbowe tuvushe umebadirika umekuwa mbowe tumalize.