Ufadhili katika biashara

Joined
Apr 24, 2015
Posts
98
Reaction score
72
Nipo mwanza najihusisha na ujasiriamali wa kutengeneza viatu vya kufunika na vya wazi, sasa biashara ni ngumu kutokana na mtaji mdogo ni mwaka sasa nimeanza(nina flem kabisa) lakin biashara haikui kwani mahitaji yote yanategemea hii kazi, hivo kama kuna mtu aliye tayari kunifadhili anitafute kwa Email yangu hii eliakimxavery@gmail.com anichek ili tufanye kazi.
 
Tuwekee Aina ya viatu hapa tunaweza kukuungisha
 
Vinauzika?
 
Kazi yako nzuri, ila unge weka wazi mtaji ambao unaamini ukiupata utafanya biashara yako ijiendeshe kwa faida na utaweza kulipa deni au mbia atashawishika.
sawa kaka, nikipata Tsh Milion 3 zinanitosha na Kuzirudisha kwa wakati inawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…